Bei Ya Petroli Yapanda
Mwandishi Wetu Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (Ewura) imetangaza bei kikomo za mafuta ya petroli kwa mwezi Juni ambapo imezidi kuongezeka kwa mkoa wa Dar e
SHINDA UOGA WAKO UJENGE MAISHA YAKO!
Je ungekuwa huogopi ungefanya nini ili uboreshe maisha yako? Unataraji hofu na uoga kukupa unachotaka maishani? Je unajua unapaswa ufanye nini ili uweze kushinda hofu n
SHUJAA WA MWEZI
Navy Kenzo, Wasanii wa Muziki wa Bongo Fleva Na Mwandishi Wetu Kila binadamu anapenda kufikia malengo kwa kila anachokiwaza kama ndoto yake. Ili kufikia kilele cha mafanikio kuna u
Bidii Bila Kuchoka, Juhudi Zilivyofanikisha Ndoto za Mbwana Samatta Ulaya!
Wengi hususan wapenda michezo, hapana shaka wameshamsikia kijana machachari wa mchezo wa soka, Mbwana Samatta mwenye umri wa miaka 27 tu.Kijana huyo kutoka Mbagala jijini Dar es Sa
PANGA KUSTAAFU AU JIKUTE UMESTAAFU!
Kupanga kustaafu ni kuweka malengo ya kustaafu na utaratibu madhubuti wa jinsi ya kutimiza malengo hayo katika kipindi fulani. Katika maana hii tunapata mambo makuu matatu muhimu y
Shujaa wa Mwezi
Naitwa Maureen Ian Rizdel Mimi ni mwalimu kitaaluma na mjasiriamali kwa hiyari. Niliamua kuiita kampuni yangu Instanbul2Dar kwa lengo la kuunganisha majiji makubwa kibiashara ya In
SAFARI YANGU KUFIKIA UHURU WA KIFEDHA
By Nancy Sumari, Founder Jenga Hub & MD Bongo5 Media Group Wengi wamekuwa wakinisikia ama kuniona katika harakati za kuhamasisha masuala lukuki yenye manufaa kwa jamii yetu ya
KUTANA NA TRIVIN FARM, KIJANA ANAYELIMA PILIPILI NA KUUZA KATIKA SOKO LA UINGEREZA
Nchini Tanzania, Sekta ya Kilimo ni muhimili wa maendeleo ya uchumi. Sekta hii inachangia kiasi cha nusu ya pato la Taifa , robo tatu ya bidhaa zinazouzwa nje ya nchi na chanzo cha
Are you truly happy with your finances?
If the answer is no, well then you are not alone. Too many of us are dissatisfied with our money, worrying about our income, our savings and our investments. But there is no reason
The ABCs of Saving
Money is never enough. This is a sense we feel when we never get hold of money. If you don’t earn much, surviving pay check to pay check, leaves in a situation where you can bare